Ruksa kuja wapi
Upo na wewe kumbe. Mi nipo humu jf nimefika sina pa kwenda
Huu uzembe sitaki kuurudia tenaPa kwenda utakosaje emmyta? Kwani wewe ulitaka kwenda maeneo yepi? Usiku bado mchanga huu.
Huu uzembe sitaki kuurudia tena
Haya tena ni historia, sasa jiandae kuona mambo mapya kabisa yanayoendana na muda tuliopoTena Mkuu? Mie nakujua Mkuu hata kabla ya wiki kukatika utayanya madudu haya haya.
Haya tena ni historia, sasa jiandae kuona mambo mapya kabisa yanayoendana na muda tuliopo
Tata ni neno lenye maana mbili tofauti, mfano Panda
Vidudu ndio vidude ganiTuliopo hapo wote tunasoma vidudu
Vidudu ndio vidude ganiTuliopo hapo wote tunasoma vidudu
Haya tena ni historia, sasa jiandae kuona mambo mapya kabisa yanayoendana na muda tuliopo
Kitumbua kilichotengenezwa kwa unga wa mahindi ni kitamu barabara
Panda, shuka, rudi kinyumenyume sawa tu, nnachotaka kujua ni kwamba unamiliki muhogo au kitumbua
Jamvi letu halichaniki leo wala keshoTuliopo humu hupenda kuchangia kwenye majukwaa mbali ya hili jamvi.
Jamvi letu halichaniki leo wala kesho
Hawajafanikiwa na hawatafanikiwa,.. Tumeamua kulitunza jamvi letu kwa umakini Mkubwa kama fundi saaKesho wala kesho kutwa Mkuu. Mahasidi wameliingiza kwenye kundi la mitandao ya hovyo hovyo ili walitumbue lakini bado hawajafanikiwa.
Fundi saa akipoteza nati anakuwajeHawajafanikiwa na hawatafanikiwa,.. Tumeamua kulitunza jamvi letu kwa umakini Mkubwa kama fundi saa
Hongera sana kwa wote waliofanikisha uwepo wa jukwaa hili ndani ya jukwaa la Jamii Forums
Barabara ,,ndo chako kitamu ivyo?? Hongera
Hawajafanikiwa na hawatafanikiwa,.. Tumeamua kulitunza jamvi letu kwa umakini Mkubwa kama fundi saa