BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Leo umefungua darasa la Kiswahili. Hata mimi najua ni swala lakini ndugu zetu Wazenj hawatumii swala wao ni suala tu.
Sahihi nahisi itakua swaum tu sababu kwenye quran inatamkikwa swaum doh najua siku zote ni swala hili la suala ndio wanambia leo