tusionacho
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 274
- 514
Mshindi wa mziki wa bongo ni HammorapperMshawqsha wenu unaharibu mchezo wetu pendwa wapendwa. Kumbuka wa mwisho ndiyo mshindi
Mshindi wa mziki wa bongo ni HammorapperMshawqsha wenu unaharibu mchezo wetu pendwa wapendwa. Kumbuka wa mwisho ndiyo mshindi
Hivyo ujue nilipitiwa na kumsahau kumshukuru Muumba wetu. Maana si wote wanakuwa na bahati ya kulelewa na wazazi wote wawili na Mababu na Mabibi wa pande zote mbili. Ahsante sana kwa kunikumbusha, nilipitiwa.
Harmorapper ndie kiboko ya mabishoo eti?Mshindi wa mziki wa bongo ni Hammorapper
Eti, nasikia kuna kama pacha mwenzake huko iringaHarmorapper ndie kiboko ya mabishoo eti?
Nilipitiwa na usingizi jana nikasahau kula daku
Mtamu sana ukiwekewa pilipili, tomatosauce, na viuongo lukuki....Daku nasikia wengi hawapendi kula. Wanadai ni usumbufu kwao kwani wanaenda kulala wakiwa wamevimbiwa 🙂🙂 au wakishalala hawapendi kuamshwa na hivyo kuharibu usingizi wao mtamu.
Iringa nasikia wanakula mbwa na kujinyonga kwao sio ishu kubwaEti, nasikia kuna kama pacha mwenzake huko iringa
Kubwa kwa nyinyi msio wenyeji kule ila pia yataka moyoIringa nasikia wanakula mbwa na kujinyonga kwao sio ishu kubwa
Kubwa sana hili sakata la deni la TaifaIringa nasikia wanakula mbwa na kujinyonga kwao sio ishu kubwa
Mtamu sana ukiwekewa pilipili, tomatosauce, na viuongo lukuki....
Hapo lazima uvimbiwe
Lol! Wewe ni muoga haijawahi kutokeaUvimbiwe tena! Mie pia sipendi kuvimbiwa. Mara ya mwisho kuvimbiwa ilikuwa utotoni wali na maharagwe lol!
Mtamu usingizi na daku ukila naona kama ukiamka unakua saum inakushika harakaDaku nasikia wengi hawapendi kula. Wanadai ni usumbufu kwao kwani wanaenda kulala wakiwa wamevimbiwa 🙂🙂 au wakishalala hawapendi kuamshwa na hivyo kuharibu usingizi wao mtamu.
Mtamu usingizi na daku ukila naona kama ukiamka unakua saum inakushika haraka
Iringa sjawahi kufika mkuu natamani kufika siku moja nikiabatana na mwenza wanguEti, nasikia kuna kama pacha mwenzake huko iringa
Lol! Wewe ni muoga haijawahi kutokea
Swaumu au saumu lipi ni neno sahihi BAK
Sahhi BAK ina kosekana herufiBAK anasema hana uhakika lipi ni neno sahihi. Niliwahi kuona pia watu wanauliza lipi ni neno sahihi kati ya suala na swala. Waliojibu wakadai suala linatumika sana Zenj na huku Bara ni swala lakini sijui ni lipi sahhi.
BAK anasema hana uhakika lipi ni neno sahihi. Niliwahi kuona pia watu wanauliza lipi ni neno sahihi kati ya suala na swala. Waliojibu wakadai suala linatumika sana Zenj na huku Bara ni swala lakini sijui ni lipi sahhi.
Leo matandao umenikalia tenge, napitwa mambo mengi yaliyojiri leo humu jamviniSahihi nahisi itakua swaum tu sababu kwenye quran inatamkikwa swaum doh najua siku zote ni swala hili la suala ndio wanambia leo