God Heals
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 720
- 1,370
Mkuu Mungu ameifanya asubuhi ya leo iwe njema kwangu T 1990 ELY, aje wewe kwa upande wakoFor you
God Heals habari za asubuhi mkuu
Mkuu Mungu ameifanya asubuhi ya leo iwe njema kwangu T 1990 ELY, aje wewe kwa upande wakoFor you
God Heals habari za asubuhi mkuu
Kabisa wana akili timamu na ni watu wenye pesa zao,maisha yao mazuri,watu na magari yao na ni watu wenye kazi zao za maana.Jamiiforums ndio mtandao ambao asilimia kubwa ya waliojiunga wana akili zilizo timamu.
Za maana kweli ila kuna vitoto vinataka kuuharibu mana kila kukicha wanakuja na nyuzi za hovyo hovyoKabisa wana akili timamu na ni watu wenye pesa zao,maisha yao mazuri,watu na magari yao na ni watu wenye kazi zao za maana.
Hovyo kweli pale unapokuwa na shauku ya kuonana na mtu halafu anachelewa kufika eneo la tukio au asije kabisa.Za maana kweli ila kuna vitoto vinataka kuuharibu mana kila kukicha wanakuja na nyuzi za hovyo hovyo
Kabisa na mbaya zaidi ukute umemaliza gharama zako na ulipokaa umeagiza kinywaji ukitegemea atakuja kulipa. Hapo ndio inapokuwa mtihani.Hovyo kweli pale unapokuwa na shauku ya kuonana na mtu halafu anachelewa kufika eneo la tukio au asije kabisa.
Mtihani wa kumushobokea mtu nilipata BashiteKabisa na mbaya zaidi ukute umemaliza gharama zako na ulipokaa umeagiza kinywaji ukitegemea atakuja kulipa. Hapo ndio inapokuwa mtihani.
Demu ndio mtu wa aina gani huyo.Mtihani wa kumushobokea mtu nilipata Bashite
Hiyo khali huwaga inanitokeaga mara kwa mara aiseee!!
Hasa nikiwa na miahadi na demu
Huyo anayeendesha lori anafaa kwa kweli maana speed zake ni hatari sana.Demu ndio mtu wa aina gani huyo.
Aina gani ya simu unatumia ni Nokia ya tochi kama yanguHuyo anayeendesha lori anafaa kwa kweli maana speed zake ni hatari sana.
Hahaha!!...nilijua tu utauliza kuwa demu ni mtu wa aina gani.
Yangu haiwezi kuwa Nokia ya tochiAina gani ya simu unatumia ni Nokia ya tochi kama yangu
SAMSUNG GALAXY NOTE EDGE naijua hiyo. Uko vizuri best aiseeYangu haiwezi kuwa Nokia ya tochi
Natumia kitu cha SAMSUNG GALAXY NOTE EDGE.
Aiseee nipo vizuri maana wana jamiiforum wote tupo vizuri emmytaSAMSUNG GALAXY NOTE EDGE naijua hiyo. Uko vizuri best aisee
Emmyta hajafikia bado ila anakaribia kuwa vizuri.Aiseee nipo vizuri maana wana jamiiforum wote tupo vizuri emmyta
Vizuri sana kama unakaribia kufika kwenye kilele cha mafanikio.Emmyta hajafikia bado ila anakaribia kuwa vizuri.
hili swala la ushindi si jambo rahisiMkuu mtoa uzi kwa nini mimi nisiwe mshindi kwenye hili.
Hili swala la kulala uchi usiku eti viungo vya mwili vipumue lilishaga nishinda kwa kweli.Mkuu mtoa uzi kwa nini mimi nisiwe mshindi kwenye hili.
kweli kabisa veeswt!Jambo rahisi sana 'lin' aamue tu kwa kweli.
Wanajf jaman naomba mkubali mimi niwe wa mwisho(mshindi).kweli kabisa veeswt!
za asubuhi wanajf