Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Majibu ya HIV huwa yanaogopesha kwa upande wa wanaume sasa sijui nini kinasababisha hali hiyo.
Hiyo khali husababishwa na uoga wa kuyapokea majibu na pia ukianza kuwanza msururu wa wanawake uliowagegeda dah lazima kuwepo na ugumu fulani hivi.

Siyo kwa wanaume tu hata wanawake nao wanakuwaga na ugumu/uoga fulani hivi emmyta
 
Hiyo khali husababishwa na uoga wa kuyapokea majibu na pia ukianza kuwanza msururu wa wanawake uliowagegeda dah lazima kuwepo na ugumu fulani hivi.

Siyo kwa wanaume tu hata wanawake nao wanakuwaga na ugumu/uoga fulani hivi emmyta

Emmyta mara zote alizopima mbona hakuwa na hofu ya ajabu kama mnayokuwa nayo.

Wanawake sio sana bana nyie ndio mmezidi aisee.
 
Kwema tu huku sijui kwako.

Halafu wewe T 1990 ELY umesahau kama majibu ni siri ya mtu.
Mtu wangu wa karibu hapa nyumbani kwetu ni MAMA yangu tu

Ndiyo nakumbuka kuwa majibu ni siri ya mtu emmyta ila huko kupima kwako mara kwa mara ipo siku utakipata/utakikuta unachokitafuta mkuu.
 
Back
Top Bottom