kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,026
- 15,809
mrefu haswaa ukilinganisha na mafuta mengine kama samonaBabycare ni mafuta ambayo yamedumu kwa muda mrefu
mrefu haswaa ukilinganisha na mafuta mengine kama samonaBabycare ni mafuta ambayo yamedumu kwa muda mrefu
Samona hata sikumbuki kama yaliwahi kudumu kwa muda ganimrefu haswaa ukilinganisha na mafuta mengine kama samona
Muda gani mnalala humuSamona hata sikumbuki kama yaliwahi kudumu kwa muda gani
Humu hadi majogooMuda gani mnalala humu
Majogoo haiwezekana maana tayari wengine waeshalalaHumu hadi majogoo
Humu hadi majogoo
Mkoani muda huu majogoo yote yapo ndani ya mabandaHumu kuna Majogoo ya shamba na mjini aka wanaume wa dar na mikoani
Mabanda hayawezi kutufanya tulale kama hao, sisi tuko macho mpaka mida ya wanga kama hiiMkoani muda huu majogoo yote yapo ndani ya mabanda
Hii yote ilikuwa nu kujikosha tuMabanda hayawezi kutufanya tulale kama hao, sisi tuko macho mpaka mida ya wanga kama hii
Sana sana kwa kuwa waFaransa ni wenye Romance na madaha zenye hadhi...!!!
ni vizuri piaPia ni vizuri kufuata sheria za mchezo huu![]()
![]()
![]()
ni vizuri pia

WhyPia ni vizuri kufuata sheria za mchezo huu![]()
Inaonekana ndio kwanza umetoka Kolomije
fuata utaratibu wa mchezo huu, kama ukishindwa kaa pembeni.Usiwaze wakati huna hela mfukoni hiyo haiwezekaniAa kumbe hilo tu basi powa we wala usiwaze
Haiwezekani kuingia ghafla kwenye mchezo pasi kuangalia walioanza wanafanyaje lazima utachemsha tu hata iweje.Usiwaze wakati huna hela mfukoni hiyo haiwezekani
za huko uliko? huku swalama kabisaHaiwezekani kuingia ghafla kwenye mchezo pasi kuangalia walioanza wanafanyaje lazima utachemsha tu hata iweje.
A'aleykum. Za huko?
Kabisa hata nami nimeamka salama na nimefurahi pia kuona nanyi mmeamka salama.za huko uliko? huku swalama kabisa
Salama kabisa, na mimi nimeamkaKabisa hata nami nimeamka salama na nimefurahi pia kuona nanyi mmeamka salama.