Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Nakupenda mama Tanzania Hata kama bei ya unga wa sembe laki Kwa kilo.
 
Namba hiyo namba ngapi mana haijajulikana mpaka leo namba inayosomwa.
inayosomwa ni ile namba ya bus ambalo dereva wake kajitaja mwenyewe japo abiria tulioko ndani hatujui tunapoelekea maana gari limekosa tlb na mamlaka husika wamebaki kutazama tu kwakua wanaogopa dereva asije akawagonga kwaupande mwengine abiria wengi wamekosa imani nae hivo kelele ni nyingi ndani ya bus kwahiyo kila mmoja kwa imani anaomba afike salama maana kushuka hairuhusiwi
 
Back
Top Bottom