Oluwa ni
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 717
- 446
Bus zenyewe siku hizi zipo slow barabarani sababu ya tochi za maafisa usalamainayosomwa ni ile namba ya bus ambalo dereva wake kajitaja mwenyewe japo abiria tulioko ndani hatujui tunapoelekea maana gari limekosa tlb na mamlaka husika wamebaki kutazama tu kwakua wanaogopa dereva asije akawagonga maana abiria wengi wamekosa imani nae hibo kelele ni nyingi ndani bus