wakutafuta
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 239
- 211
online na bando la jaza ujazwe sio poa kabsaHivyo ndivyo mnavyonishawishi niendelee kubaki online
online na bando la jaza ujazwe sio poa kabsaHivyo ndivyo mnavyonishawishi niendelee kubaki online
Kabisa yn bora watafute neno jengineonline na bando la jaza ujazwe sio poa kabsa
Jengine litakuwa bora zaidi mana hili la sasa linaleta ukakasiKabisa yn bora watafute neno jengine
Ukakasi ni pale unapoponda uteuzi lakini ukiteuliwa wewe hujiulizi mara mbiliJengine litakuwa bora zaidi mana hili la sasa linaleta ukakasi
Mara mbili tena wakati na mimi nataka ulaji.Ukakasi ni pale unapoponda uteuzi lakini ukiteuliwa wewe hujiulizi mara mbili
Ulaji wa saivi ni maji na tendeMara mbili tena wakati na mimi nataka ulaji.
tende ni zao adimu sana na lina faida nyingi sana kwenye mwili wa binaadamu ila watu wengi wamekariri eti kula tende mpaka ramadhani na pia sijui kwanini zao hili humea zaidi nchi za kiarabuUlaji wa saivi ni maji na tende
Haiishi kwa sababu mshindi bado kupatikana!Zingine sio post za kuchangia ona kama hii haiishi.
Kupatikana wala hawezi kupatikana hivyo atulie tuHaiishi kwa sababu mshindi bado kupatikana!
Tu! Sasa nimepata nguvu ya kuslide screen ya simu yangu baada ya kufuturuKupatikana wala hawezi kupatikana hivyo atulie tu
kufuturu mnafuturu kimya kimya hata karibu kweliiTu! Sasa nimepata nguvu ya kuslide screen ya simu yangu baada ya kufuturu
Kweli nimesahau kukukaribisha rafiki. Ila usijali siku bado zipokufuturu mnafuturu kimya kimya hata karibu kwelii
Kufuturu mapema kunaongeza thawabuTu! Sasa nimepata nguvu ya kuslide screen ya simu yangu baada ya kufuturu
Mungu tu pekee ndiye mwenye uwezo wa kumpangia kila mwanadamu riziki yake.Thawabu mtoaji ni Mungu tu
Yake mapenzi ndio chanzo cha matatizo ktk nyumba yao.Mungu tu pekee ndiye mwenye uwezo wa kumpangia kila mwanadamu riziki yake.
Yake Neema ya muumba haina upendeleo kwa waja wakeMungu tu pekee ndiye mwenye uwezo wa kumpangia kila mwanadamu riziki yake.