Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Mchezo hauwezi kuvurugwaStaarajii kuona mtu anavuruga mchezo
Mchezo hauwezi kuvurugwaStaarajii kuona mtu anavuruga mchezo
Mwisho ndio mwanzo wa kupost unachokijua
Kuvurugwa ni rahisi sana kwa ambaye hajaelewa kanuni za huu mchezoMchezo hauwezi kuvurugwa
Kuvurugwa ni rahisi sana kwa ambaye hajaelewa kanuni za huu mchezo
Pale ndio utaona ladha ya haya mapambano, ukikuta post kadhaa zimekutangulia angalia ya mwisho ndio uanzie hapo kupost japo kuna mwingine pia anapost bila wewe kujua.Mchezo huu haunogi mkiwa wawili tu mnajibizana, inatakiwa muwe wengi na pawe na fujo za hapa na pale
Pale ndio utaona ladha ya haya mapambano, ukikuta post kadhaa zimekutangulia angalia ya mwisho ndio uanzie hapo kupost japo kuna mwingine pia anapost bila wewe kujua.
Ukifanya hivyo ndio utakuwa makini na kufanya haraka kupost ili kushindana na wengine
Tuu!! Nadhani katumwa huyu kituko, km haelewi mchezo bora akae pembeniMwifwa anajua hiloo anakupima tuu
Pembeni yako upo na naniTuu!! Nadhani katumwa huyu kituko, km haelewi mchezo bora akae pembeni
Pembeni kabisa awe mtazamaji!Tuu!! Nadhani katumwa huyu kituko, km haelewi mchezo bora akae pembeni
Thatsit hatakagi ujingaPembeni kabisa awe mtazamaji!
Bora umenisaidia bana thatsit
bora aangalie shoo tu km wengineSit ya mbele au katikatiPembeni kabisa awe mtazamaji!
Bora umenisaidia bana thatsit
Katikati kuna mwibaSit ya mbele au katikati
Pembeni kabisa awe mtazamaji!
Bora umenisaidia bana thatsit
Mwiba au mbigil unajua ni tofautKatikati kuna mwiba
thatsit anataka mbakie wawili tu?, haaaa haa, elewa kaka huu mchezo ni wa watu wengi hatuwezi kuwa na topic moja ya kuongelea wote, unakuta hawa wana yao na wengine wana yao, watu wanataka kucheka na kufurahi kwa jinsi zao
Tofauti yake ni ipi??Mwiba au mbigil unajua ni tofaut
zao la furaha ni kucheka
Afya yako ni jukumu lako sio la daktarKucheka ni afya
Daktar wa siku izi wote wanaringa hawajui kwamba kazi yao ni witoAfya yako ni jukumu lako sio la daktar