chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,418
Hanymoon,shahri l3asal,hmmm ya nani tena
tena nikataka kukuuliza ulikula hany moon kwa mda gani tupate uzoefu
Hanymoon,shahri l3asal,hmmm ya nani tena
Uzoefu wangu ktk mambo haya sio mkubwatena nikataka kukuuliza ulikula hany moon kwa mda gani tupate uzoefu
Uzoefu wangu ktk mambo haya sio mkubwa
Mkubwa wa umri au vitendo?Uzoefu wangu ktk mambo haya sio mkubwa
mkubwa wako hana uzoefu pia mkuu
Mkuu hicho ni chuma cha rail au chasis ya benz?
Kutu kwenye chuma ni lazima kakabenzi haioni ndani ni chuma cha mjerumani hakipati kutu
Kaka hicho ni kitukoKutu kwenye chuma ni lazima kaka
Kutu kwenye chuma ni lazima kaka
Kituko pale unapotoa maamuzi mabaya ambayo baadaye yanakuwa simanzi kwa wengineKaka hicho ni kituko
Wengine tulishajua kuwa tutaumizwa na kujirudia kwa manahodha hawa hawa kuongoza chombo chetu, ambao tangu miaka 50+ iliyopita wanajinufaisha hao wenyewe.Kituko pale unapotoa maamuzi mabaya ambayo baadaye yanakuwa simanzi kwa wengine
Wafiliwa hawajaambulia msaada kadiri ya michango ilivyopatikana kufa kufaana watu wanaomba majanga yaendelee kutokeaWengine tulishajua kuwa tutaumizwa na kujirudia kwa manahodha hawa hawa kuongoza chombo chetu, ambao tangu miaka 50+ iliyopita wanajinufaisha hao wenyewe.
Ila zaidi tumeumizwa na umelo wa hadi kutafuna rambirambi za wafiliwa.
Yaendelee kutokea ili tupige hela Kama kawaida yetuWafiliwa hawajaambulia msaada kadiri ya michango ilivyopatikana kufa kufaana watu wanaomba majanga yaendelee kutokea
tamu sana ile juice, emmyta lini tuende tena?Zote kali yako tamu
Tena nawasubiria kwa hamu mkujetamu sana ile juice, emmyta lini tuende tena?
mkuje nyoote tukanywe ile juice maana utamu wke sio wa nchi hiiTena nawasubiria kwa hamu mkuje
Hii sasa 2 machimkuje nyoote tukanywe ile juice maana utamu wke sio wa nchi hii