Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,096
- 122,459
Bashite yupi huyo unamzungumzia hapaMnisindikize nisije nikatekwe na Bashite

Bashite yupi huyo unamzungumzia hapaMnisindikize nisije nikatekwe na Bashite

Bashite yupi huyo unamzungumzia hapa![]()
![]()
![]()
![]()
Wa kolomijee. Hapo sawa.hapa jf wanamzungumzia yule wa koromije
Sawa kwa mfoji vyeti bashiteWa kolomijee. Hapo sawa.
Sawa kwa mfoji vyeti bashite
nini maana ya kutumbua majipu madogo madogo alaf kubwa kama bashite waliacheUnatumbuliwa jipu ama nini
Waliache tu mana kama mwenye nyumba katumia kila mbinu lisionekane kama ni jipu. Hakuna kingine zaidi ya kuliangalia tu.nini maana ya kutumbua majipu madogo madogo alaf kubwa kama bashite waliache
Waliache tu kama ni jipu hilo likifika mda wake litatumbuka lenyewe na nadhani limeanza kuiva kama ntakua sijakoseanini maana ya kutumbua majipu madogo madogo alaf kubwa kama bashite waliache
kuliangalia tu gauni bila kujipima siwezagiWaliache tu mana kama mwenye nyumba katumia kila mbinu lisionekane kama ni jipu. Hakuna kingine zaidi ya kuliangalia tu.
Sijakosea kwa kutamka ukweli kwa nilichokionaWaliache tu kama ni jipu hilo likifika mda wake litatumbuka lenyewe na nadhani limeanza kuiva kama ntakua sijakosea
nilichokiona jana usiku ni siri yanguSijakosea kwa kutamka ukweli kwa nilichokiona
Nilichokiona ni hakuna uadui kati ya Marekani na Urusi basi tu tunazugwa ili kutimiza wanayoyataka na mpaka tukija kushtuka tumeshachelewa nadhani wenye macho kama yangu watakua wamenielewaSijakosea kwa kutamka ukweli kwa nilichokiona
Yangu macho nawaona wote jinsi mnavyoongeanilichokiona jana usiku ni siri yangu
Mnavyoongea nahis kabsa mnanisema maana toka ninunue crown kwa hela ya vitunguu kutoka nilipokua nalima naona midomo mnaikenua kila wakatiYangu macho nawaona wote jinsi mnavyoongea
Kila wakati nikiwaona wote mmejaa humu nasikia amani ya moyo. Karibuni mliokuja saa hizi. Wazima wote?Mnavyoongea nahis kabsa mnanisema maana toka ninunue crown kwa hela ya vitunguu kutoka nilipokua nalima naona midomo mnaikenua kila wakati
Wote nawaona mnavyoburudika, mi leo kazi imenibanaKila wakati nikiwaona wote mmejaa humu nasikia amani ya moyo. Karibuni mliokuja saa hizi. Wazima wote?
Wote tunashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kuamka salamaKila wakati nikiwaona wote mmejaa humu nasikia amani ya moyo. Karibuni mliokuja saa hizi. Wazima wote?
Salama ni mtoto mzuri na mwenye hekimaWote tunashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kuamka salama
Kila wakati nikiwaona wote mmejaa humu nasikia amani ya moyo. Karibuni mliokuja saa hizi. Wazima wote?