Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,674
Wahusika waliokula rambirambi mungu anawaonaUnavyoendelea mchezo, naanza kupata mashaka.
Umeingiliwa mchezo, na wasiojua sheria.
wapendao ushindi wa dezo, kila kitu wakiuka.
Tukumbushane vigezo, sisi wote wahusika.