Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
Wahusika waliokula rambirambi mungu anawaonaUnavyoendelea mchezo, naanza kupata mashaka.
Umeingiliwa mchezo, na wasiojua sheria.
wapendao ushindi wa dezo, kila kitu wakiuka.
Tukumbushane vigezo, sisi wote wahusika.
,huku wote wazima twashukuru.hili jukwaa vp mshindi hajatokea bado naona kama hamna dalili