Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Jakitoo yumo nae ktk mashindano,thatsit pia,hahah yani wacha nitulie tu umuumu,kule apanifai pananitaftia ban ya burebure,yani nmewamiss ile sana sana sana wote
Wote ambao hatutaki kula ban tupo hapa tunaburudika na mechi isiyokuwa na mapumziko
 
Mchana palikuwa shwari sana pande hizi huku, usisahau kulike ili nitapate notification nijue mchezo unavyoendelea

Unavyoendelea mchezo, naanza kupata mashaka.
Umeingiliwa mchezo, na wasiojua sheria.
wapendao ushindi wa dezo, kila kitu wakiuka.
Tukumbushane vigezo, sisi wote wahusika.
 
Back
Top Bottom