Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Watang'amua lini Watanzania wa vijijini kuwa kuna haja ya kubadili Chama cha kutuongoza
Kutuongoza hakuitaji chama, kunahitaji hekima.

Muundo wa vyama vya siasa, ni desturi ya kuiga bila kujua.

Tukiacha mifumo tusiyojua, washambani watang'amua.

Uongozi wa nchi ni fani, inayohitaji hekima.
 
Back
Top Bottom