Basi sawa usiku mwema. Nawapenda nyoteMtu gani jakitoo? Ebu nidokeze kidogo basi.
Basi sawa usiku mwema. Nawapenda nyoteMtu gani jakitoo? Ebu nidokeze kidogo basi.
Nyote wapenzi wa uzi huu karibuni uswaziBasi sawa usiku mwema. Nawapenda nyote
Uswazi kuna mambo, wawezakuta wadada wamekataa tu barazani wanaongea umbeaNyote wapenzi wa uzi huu karibuni uswazi
Umbea ni sunna shoga au hujuiUswazi kuna mambo, wawezakuta wadada wamekataa tu barazani wanaongea umbea

au hujui kuwa leo ni jumamosiUmbea ni sunna shoga au hujui![]()
Jumamosi siku ya mapumzikoau hujui kuwa leo ni jumamosi
Mapumziko ya jumamosi yanakuwa mafupi kwani kazi za nyumbani zinakuwa nyingi mnoJumamosi siku ya mapumziko
Mnofu wa mbuzi nlikula jana ulikua mtamu hatarMapumziko ya jumamosi yanakuwa mafupi kwani kazi za nyumbani zinakuwa nyingi mno
hatari ya kula mnofu wa mbuzi utakutana nayo uzeeniMnofu wa mbuzi nlikula jana ulikua mtamu hatar
Uzeeni watu wengi tutakuwa wastaarabuhatari ya kula mnofu wa mbuzi utakutana nayo uzeeni
Wastaarabu wameadimika sana miaka hili ya utandawaziUzeeni watu wengi tutakuwa wastaarabu
Utandawazi umeleta mambo mengi sana, leo hii nabadilishana mawazo na watu ambao siwajui na wao hawanijui.Wastaarabu wameadimika sana miaka hili ya utandawazi
Watu ambao siwajui, na wao hawanijui.Utandawazi umeleta mambo mengi sana, leo hii nabadilishana mawazo na watu ambao siwajui na wao hawanijui.
Matunda gani unayoyaomba mtandaoni?Watu ambao siwajui, na wao hawanijui.
Mtandao umenipa, nafasi ya kuwaomba matunda.
Matunda gani unayoyaomba mtandaoni?
Matunda gani nayaomba, ndugu unauliza majibu?Matunda gani unayoyaomba mtandaoni?
Katikati ya safari yetu iliyokuwa ya matumaini ilikumbwa na misukosuko iliyotuharibia mwelekeoMitandaoni wapo wengi wanaouza matunda ya mti wa katikati.
Mjanja lazima aelewe utaratibu wa uzi huu, kulikoni Zakumi mbona umeacha barabara utaumia rudi njia kuu tuendelee na mapambano.Matunda gani nayaomba, ndugu unauliza majibu?
Kama ulisoma fasihi, mstari wangu umeupata.
Matunda ya mtandaoni, hayamshindi sungura mjanja.
Mapambano kila siku, lini utapata uroda.Mjanja lazima aelewe utaratibu wa uzi huu, kulikoni Zakumi mbona umeacha barabara utaumia rudi njia kuu tuendelee na mapambano.