Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Huwawezi bacteria wa chooni, sikuwahi kusikia kula tunda kunahusu bacteria wa chooni. Mwenzetu hilo tunda lenye bacteria wa chooni ni tunda lipi? Hebu tujuze.

Raha zako si zangu, kaka tukubaliane.

Tunda nakula kwa mrija, Mungu aliniobakia.

Mrija wangu si kichwa cha paka, kibamia nimebalikiwa.

Kulambalamba siwezi, kibamia nitakitumia.

Matunda yanashamili karibu na choo, ulimi na meno sipeleki.

Niiteni mzee wa shamba, bakteria wa chooni siwawezi.
 
Back
Top Bottom