Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,579
- 55,631
wahindi wa nini? maana huu mchezo hauna mshindi atiiWako wapi hao washindi?
wahindi wa nini? maana huu mchezo hauna mshindi atiiWako wapi hao washindi?
washindi kivipi jamani mbona hivo? Mshindi wa uzi huu ni mimi hapaWako wapi hao washindi?
Hapa lazima apatikane ata kama baada ya miaka 100washindi kivipi jamani mbona hivo? Mshindi wa uzi huu ni mimi hapa

100 ni nambari iliyokamilikaHapa lazima apatikane ata kama baada ya miaka 100![]()
Iliyokamilika huwa haina kasoro100 ni nambari iliyokamilika
Kasoro huwepo mahali penye upungufu wa kituIliyokamilika huwa haina kasoro
Maishanii!!hhmmm napenda kuwepo karibu na nimpendaeKitu gani ukipendacho zaidi maishani?
Nimpendae hakuna zaidi yakoMaishanii!!hhmmm napenda kuwepo karibu na nimpendae

Yako yale matunda niliyokukabidhi jana?Nimpendae hakuna zaidi yako![]()
Matunda gani jamani, naomba utufahamishe.Yako yale matunda niliyokukabidhi jana?
Usikanushe mistari,uko vizuri ktk mitungoMatunda gani jamani, naomba utufahamishe.
Yaliomshinda Sungura mjanja, malkia utupashe.
Waliyokula Adam na Eva, twaomba ufafanulishe.
Malkia wawili kupeana matunda, kaa kimya usikanushe.
hapa hapa tutajua nan mshindwashindi kivipi jamani mbona hivo? Mshindi wa uzi huu ni mimi hapa
mitungo?? hilo neno lina utata ,kama lile sakataUsikanushe mistari,uko vizuri ktk mitungo
Sakata la nini tenamitungo?? hilo neno lina utata ,kama lile sakata
tena juzi tu wamegundulika watumish wenye vyeti feki,huko muhimbil hospitaliSakata la nini tena
Hospitali zenyewe ndio zilikua zinaaminika kua na watu makin ambao hawawez kufoj vyetu kumbe ndio kwanza wanazid kuaibika....tena juzi tu wamegundulika watumish wenye vyeti feki,huko muhimbil hospitali
Kuaibika sikuhizi ni kitu cha kawaidaHospitali zenyewe ndio zilikua zinaaminika kua na watu makin ambao hawawez kufoj vyetu kumbe ndio kwanza wanazid kuaibika....
Mshindi ni mimi maana ndio wa mwisho kucommenthapa hapa tutajua nan mshind