Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,825
Naogopa kusema uongo,maana nafanya shuuli mbili kwa wakt mmojaKumuangalia kwa umakini nilijitahd lkn sikumuona hapa nilipo nimesimama kukaa naogopa

Naogopa kusema uongo,maana nafanya shuuli mbili kwa wakt mmojaKumuangalia kwa umakini nilijitahd lkn sikumuona hapa nilipo nimesimama kukaa naogopa

Naogopa sana kusema uongo kwa mke wngu maana nikiizoea tabia hii nitashindwa kujua ukweli na baraka nyingi zilizowekwa kwa wawili wanaopendanaKumuangalia kwa umakini nilijitahd lkn sikumuona hapa nilipo nimesimama kukaa naogopa
Naogopa kusema uongo,maana nafanya shuuli mbili kwa wakt mmoja![]()
![]()


mmoja kaamua kunitisha leo. Muwania mbl Moja humponya AQ nakushaur bora fanya jambo mojamojaNaogopa hata mimi kama sio hivyo ningekuja na fimbo nimpigeKumuangalia kwa umakini nilijitahd lkn sikumuona hapa nilipo nimesimama kukaa naogopa
Mojamoja kwangu haiwezekani,au ushasahau ww kua wa pwani wanafanya kazi kumi wakat mmoja na kumaliza kwa pamojammoja kaamua kunitisha leo. Muwania mbl Moja humponya AQ nakushaur bora fanya jambo mojamoja
Pamoja tutashinda, lkn nahc utajichoshaMojamoja kwangu haiwezekani,au ushasahau ww kua wa pwani wanafanya kazi kumi wakat mmoja na kumaliza kwa pamoja
Pamoja tukiungana bila itikadi za dini,siasa,kabila na hakika nchi yetu itapata maendeleo ya haraka harakaMojamoja kwangu haiwezekani,au ushasahau ww kua wa pwani wanafanya kazi kumi wakat mmoja na kumaliza kwa pamoja
Pamoja na nyie niacheni niwe mshindi msg yangu hii ifanyeni ya mwisho basiMojamoja kwangu haiwezekani,au ushasahau ww kua wa pwani wanafanya kazi kumi wakat mmoja na kumaliza kwa pamoja
Haraka tutafanikiwa na hakika tutashinda ,emmtay tulia amna mshindi bado hapaPamoja tukiungana bila itikadi za dini,siasa,kabila na hakika nchi yetu itapata maendeleo ya haraka haraka
thatsit mm sijichoshi nshazoea kuhangaikaBasi ondoka km ushachoka tuache tuendeleePamoja na nyie niacheni niwe mshindi msg yangu hii ifanyeni ya mwisho basi
Tuendelee tu jamani sio kwa kunifukuza haraka haraka namna hiyoBasi ondoka km ushachoka tuache tuendelee
Hiyo ni onyo mubasharaTuendelee tu jamani sio kwa kunifukuza haraka haraka namna hiyo
amna mshindi hapaHapa ndio najua hamna mshindi ila thatsit na Arabian queen nawaona tu mnavyonipa makavuHiyo ni onyo mubashara![]()
amna mshindi hapa
Tulianza kwa kasi mchezo,kuisha hauishi leoHapa ndio najua hamna mshindi ila thatsit na Arabian queen nawaona tu mnavyonipa makavu
niacheni mie niwe wa mwisho mkubali nmeshindaNimeshinda na mimi pia, itabd sku iz tutafute mshindi wa siku, naona wa mwisho hatopatikana daimaTulianza kwa kasi mchezo,kuisha hauishi leo![]()
niacheni mie niwe wa mwisho mkubali nmeshinda
Daima hatutopata mshindi hata wa io siku maana kuna wanaokesha piaNimeshinda na mimi pia, itabd sku iz tutafute mshindi wa siku, naona wa mwisho hatopatikana daima

hapa mshindi ni mimi coz nimekuwa wa mwisho kujibu uzi wakoJamani mimi mwenyew nataka ushindi hapa![]()
![]()