Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kheeeee kheeeeee ushakuwa addicted weye lol! Saa nyingine bila shaka huwa unasinzia ukiwa humu na kupitiwa na usingizi mpaka saa zako za kuamka. Chezeya utamu wa JF mtandao wa hovyo hovyo 😛😛😛
Hovyoo!ndo nini kuingia bila gia vigezo na masharti kuzingatiwa.hujambo mr BAK
 
Yake sio ile ngoja wakiamka wote watatuonyesha yenyewe ni ipi
Ipi gonga gonga mbona kwangu sijaisikiaa!!
Bora nimeshaamka mwenyewe,
Habarini wapenzi maridhwa wa huu uzi, ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya pamoja na mimi pia.
Asubuhi njema, tutaonana panapo majaliwa ya mmiliki wa pumzi zetu
 
Ipi gonga gonga mbona kwangu sijaisikiaa!!
Bora nimeshaamka mwenyewe,
Habarini wapenzi maridhwa wa huu uzi, ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya pamoja na mimi pia.
Asubuhi njema, tutaonana panapo majaliwa ya mmiliki wa pumzi zetu
Zetu ni zile za mwanzoni,haya nmekuja tuendeleeni ivi mshakula umu ndani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ipi gonga gonga mbona kwangu sijaisikiaa!!
Bora nimeshaamka mwenyewe,
Habarini wapenzi maridhwa wa huu uzi, ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya pamoja na mimi pia.
Asubuhi njema, tutaonana panapo majaliwa ya mmiliki wa pumzi zetu

Zetu pumzi tunazitumia ila cha ajabu tunaringa na kusahau kumshukuru aliyetujaalia uzima na afya bora.
 
Back
Top Bottom