Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
Feki imetapakaa kila sehemu na kila kitu, mwishoni ni sahihi yanguMabaya yapi zaidi ya kujikuta upo kwenye orodha ya wenye vyeti feki?
Feki imetapakaa kila sehemu na kila kitu, mwishoni ni sahihi yanguMabaya yapi zaidi ya kujikuta upo kwenye orodha ya wenye vyeti feki?
Yangu macho, kama watu wengine/makundi mengine hayachekiwi vyeti vyao haya!Feki imetapakaa kila sehemu na kila kitu, mwishoni ni sahihi yangu
Haya ni maaja ya DuniaYangu macho, kama watu wengine/makundi mengine hayachekiwi vyeti vyao haya!
Dunia mabara saba na riziki mafungu sabaHaya ni maaja ya Dunia
Saba namba ya chumba, au maonyesho ya wakulima.Dunia mabara saba na riziki mafungu saba
Wakulima tunaweza kujikwamua kirahidi pindi tukipata msaada wakitaalum,Saba namba ya chumba, au maonyesho ya wakulima.
Wakitaaam au wakitaalamu? Maana maneno ya kiswahili hayaishii na konsonati!Wakulima tunaweza kujikwamua kirahidi pindi tukipata msaada wakitaalum,
Konsonanti hili neno ningependa Bashite alifafanueWakitaaam au wakitaalamu? Maana maneno ya kiswahili hayaishii na konsonati!
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Bashite alifananue swala la cheti feki, wanachodai alifoji akiwa koromije!Konsonanti hili neno ningependa Bashite alifafanue
Koromije saivi kuna branch ya GSMBashite alifananue swala la cheti feki, wanachodai alifoji akiwa koromije!
GSM Branch si hatulijui tupe ufafanizi zaidKoromije saivi kuna branch ya GSM
Mkubwa umeharibu utalatibu kwakujifanya mjuajiGSM inamaanisha nini kwenye simu za mkononi
Mauaji ya ndy.zetu Albino hapa nchini ni Ukatili wa kutupwa na ujinga kwa Taifa lote na ndiyo ilisababisha maafa na njaa na majanga yasiyo isha wala kuwa na kikomooooo !!!Mkubwa umeharibu utalatibu kwakujifanya mjuaji
Mauaji ya ndy.zetu Albino hapa nchini ni Ukatili wa kutupwa na ujinga kwa Taifa lote na ndiyo ilisababisha maafa na njaa na majanga yasiyo isha wala kuwa na kikomooooo !!!
Niliicancel ikakataa, Sorry sana wana threadMkubwa umeharibu utalatibu kwakujifanya mjuaji
Mjuaji nae sometime hukwamaKikomooo kitafikiwa pale utakapotofautisha mauaji na mjuaji.
Hukwama kama bashite dhidi ya wauza ngadaMjuaji nae sometime hukwama
Ngada au Ganda? ebu funguka ipasavyo mkuu.Hukwama kama bashite dhidi ya wauza ngada
Mkuu ni yule mwenye vyeti feki lakini bado anapigiwa saluti na kukingiwa kifuaNgada au Ganda? ebu funguka ipasavyo mkuu.