Zaidi naona mwenge huleta mikosiKuvitembelea ni vizuri ili kusaidia kukuza uchumi wa Taifa, Pia mwenge wa Uhuru ungewekwa makumbusho ingekuwa bora zaidi.
Mikosi inayotokea ktk nchi yetu inasababishwa na matendo na tabia za kina bashiteZaidi naona mwenge huleta mikosi
Bashite bongo flava, msondo ngoma kina Lowassa.Mikosi inayotokea ktk nchi yetu inasababishwa na matendo na tabia za kina bashite
Lowassa anakatoto kake kamefutwa kazi kanaitwa Godfrey ngoyayi lowassaBashite bongo flava, msondo ngoma kina Lowassa.
Lowassa ni kati ya majina maarufu ya koo za wamasaiLowassa anakatoto kake kamefutwa kazi kanaitwa Godfrey ngoyayi lowassa
Wamasai wamekuwa maarufu sana huko ng'ambo hadi kufikia waTZ wote tunaitwa nyie Wamasai !!Lowassa ni kati ya majina maarufu ya koo za wamasai
Wamasai wanaipenda Zanzibar wametapakaa kila sehemu ZanzibarWamasai wamekuwa maarufu sana huko ng'ambo hadi kufikia waTZ wote tunaitwa nyie Wamasai !!
Zanzibar ni ukoo wa Mwarabu na Mngazuja.. Sasa litakuwa ukoo wa Mwarabu na mmasai na kuitwa Zanmasai!!Wamasai wanaipenda Zanzibar wametapakaa kila sehemu Zanzibar
Zanmasai mpaka tulizoe ulimi utakuwa umekwenda upandeZanzibar ni ukoo wa Mwarabu na Mngazuja.. Sasa litakuwa ukoo wa Mwarabu na mmasai na kuitwa Zanmasai!!
Upande za juu ni Bujumbura na za chini ni kigoma !!Zanmasai mpaka tulizoe ulimi utakuwa umekwenda upande
Kigoma kwa wanaogoma , sio kwa wacheza ngoma na mdundiko.Upande za juu ni Bujumbura na za chini ni kigoma !!
Midundiko unaisikia usiku wa manane huko uswazi !!!Kigoma kwa wanaogoma , sio kwa wacheza ngoma na mdundiko.
Uswazi kwa King Mswati, au kwa rais wa mkoa Bashite.Midundiko unaisikia usiku wa manane huko uswazi !!!
Bashite wa Kolomije, raisi wa Bongo DSM.Uswazi kwa King Mswati, au kwa rais wa mkoa Bashite.
DSM ni kifupi cha jina Dar es Salaam, mkoa wenye mazuri na mabaya.
Mabaya pharmacist mbona umetukwaza neno la mwisho ni lipiDSM ni kifupi cha jina Dar es Salaam, mkoa wenye mazuri na mabaya.
pharmacist
MabayaMabaya pharmacist mbona umetukwaza neno la mwisho ni lipi
Mabaya huwa yanafuta memaMabaya
Mabaya yapi zaidi ya kujikuta upo kwenye orodha ya wenye vyeti feki?Mabaya