Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

The bold na Niffah kiutani utani dah, shikamoo JF
JF its a place of everything, advice, supporting each other nk
d137173a672fcb58c3be4788104a3ceb.jpg
 
sana sana siyo sana ni ubabaishaji!!
Ubabaishaji wa viongozi wa wapinzani umetia doa, pale wanapo itwa kwenye kamati ya maadili bado wanagoma, itifaki izingatiwe na bunge ni chombo ktk mihimili mitatu, basi kama mihimili mingine heshima ni muhimu sio kumuita spika fala, sheria, hoja na mijadala mingine bungeni hazijadiliwi kwa mihemko ya matusiiiiii ova
 
Back
Top Bottom