Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,691
- 51,013
Tu ehhh haya banah, matumizi mengine NOHalali kwenye ndoa tu
Tu ehhh haya banah, matumizi mengine NOHalali kwenye ndoa tu
Tu? Kweli? Nami nimefurahi kukuona hapa, tunakushukuru sana kwa niaba ya wanaNini zaidi nimekuja kuwasalimia tu
No commentTu ehhh haya banah, matumizi mengine NO
Simu naona haijawaka, aisha huyu amekufanya udondoshe simu, amekudatisha sana aishaHaaa, nimecheka hadi nimedondosha simu
Jamani kuna kula na kuliwaNini zaidi ya kula jmn
Amekudatisha sana aisha na lafudhi yake ya kitangaSimu naona haijawaka, aisha huyu amekufanya udondoshe simu, amekudatisha sana aisha
Kitanga tanga mhmhhhh muoga mimiAmekudatisha sana aisha na lafudhi yake ya kitanga
Kitanga gn mm so mtanga.Amekudatisha sana aisha na lafudhi yake ya kitanga
Mtanga ni sakayo, wewe niKitanga gn mm so mtanga.
Wana wakija wasalimie sanaTu? Kweli? Nami nimefurahi kukuona hapa, tunakushukuru sana kwa niaba ya wana
Halisi yani uzuri halisi with no make up, welcome home mtoto ukhutyNi mtanga halisi
Sana sana dont make us miss you alot, come in again over again the forum is for usWana wakija wasalimie sana
For us!!?? You mean me and you???Sana sana dont make us miss you alot, come in again over again the forum is for us
You, i and the rest the forum is ours and needs wadau kufurahi pamojaFor us!!?? You mean me and you???
You all ; Toxic,Aishah, ukhuty alibakari are wabaguzi kwa sbb mnajitaja kikabila..!!For us!!?? You mean me and you???
Pamoja tuwe taifa kabambe!!You, i and the rest the forum is ours and needs wadau kufurahi pamoja
Kikabila kipi mkuu hahahahahahahaha, mimi mtu wa kaskazini, sakyo mtanga, alibakari huyu atakua mruguru huyu, Aishah huyu mzanzibar huyuYou all ; Toxic,Aishah, ukhuty alibakari are wabaguzi kwa sbb mnajitaja kikabila..!!
, unaona mkuu makabila mbalimbali, wewe zamiluni zamiluni ni mkenya you see, karibu mkuu'Kabambe' ni msemo waliutumia kwenye promotion gani vile.......Pamoja tuwe taifa kabambe!!
Kikabila kipi mkuu hahahahahahahaha, mimi mtu wa kaskazini, sakyo mtanga, alibakari huyu atakua mruguru huyu, Aishah huyu mzanzibar huyu, unaona mkuu makabila mbalimbali, wewe zamiluni zamiluni ni mkenya you see, karibu mkuu
Vile vile kabila langu litawahusu nyie!!'Kabambe' ni msemo waliutumia kwenye promotion gani vile.......