Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Ghafla imagine umelala kwenye nyumba yako na ni usiku na upo peke yako na nje kuna mvua inanyesha ghafla ukasikia hodi kufungua mtoto wa kike, ukapata mgeni, na huyo mgeni mwenyewe ni wa kike na akawa anaomba hifadhi kwako kwa kuwa amepata matatizo na amekimbilia kwako na khanga moja tu na imelowana sana, je nikikupa peni kumalizia hii story utaimalizaje bila kuharibu utamu
Utamu gani, mbona una maneno mengi sana wewe
 
Jamani naomba kama wewe ni mzuri uje pm . Tupange namna ya kuendeleza hicho kilimo chako lizy maneno haya yalisemwa na toxic9
Toxic9 hajasema banah daby unatumia falsafa kali kupata mchumba, lizy ameshakuelewa atakuja PM, ila pia ni lazima aniombe ruhusa
 
Game ili iwe tamu m qoute mtu wa juu yako.
Yako falsafa ni point tupu, sema umesahau pamoja na mkonge kupita nchini ila kuna kasumba ya mtandao, na pia sio wadau wote wanatumia simu zenye 4G LET so mtu unaweza quote mtu wa juu yako na hii horrible net ukashangaa upo kwenye post ya 20 wakati you were the first to quote, upo hapo daby
 
Yako falsafa ni point tupu, sema umesahau pamoja na mkonge kupita nchini ila kuna kasumba ya mtandao, na pia sio wadau wote wanatumia simu zenye 4G LET so mtu unaweza quote mtu wa juu yako na hii horrible net ukashangaa upo kwenye post ya 20 wakati you were the first to quote, upo hapo daby
Daby keshaenda kwenye lile Jukwaa pendwa lingine
 
Back
Top Bottom