Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,672
- 50,988
Muda?? yeeeeeuwi part time job ndiyo huwa sizipendi mguu ndani mguu njeeWako huyo Sakayo, nilikushikia kwa muda
Muda?? yeeeeeuwi part time job ndiyo huwa sizipendi mguu ndani mguu njeeWako huyo Sakayo, nilikushikia kwa muda
Sana uwiMuda upi huo lizy mie simtaki anaongeaga sana
say no to ubaguziAnaboa kwa kiungo kipi hasa ukhuty mdomo, mikono, nkSana yaan had anaboa
Toxic9 napajua mbinguni pitia vitabu vitakatifu, kwani ukienda utarudi duniani kuja kusimulia? Ni ulize maswali yenye uhalisia ukhuty wanguMbinguni unakujua toxic 9
Kweli nilimuona akinichungulia bafuniUzi huu una mambo kweli
Uzi siuharibu, nahuribu kwa lipi sasa, mbona tuhuma zimukua nyingi hivi,,,,,, nashindwa kuzibeba pia, ila poleni sana kama nimewaboa au kuwakwaza this is my last post ktk jukwaa hili, ili nisiwakwaze wengi.Nk Nk tu kila saa toxic9 unaharibu huu uzi
Uzi sijui unahusu niniUzi siuharibu, nahuribu kwa lipi sasa, mbona tuhuma zimukua nyingi hivi,,,,,, nashindwa kuzibeba pia, ila poleni sana kama nimewaboa au kuwakwaza this is my last post ktk jukwaa hili, ili nisiwakwaze wengi.
Bafuni kwa naniKweli nilimuona akinichungulia bafuni
Nani aje tuoge maji ya moto ?!!?Bafuni kwa nani
Moto? Moto upi unaouzungumziaNani aje tuoge maji ya moto ?!!?
Au unamzungumzia roma na moni maana ndio wa moto hapa kwetu...Moto? Moto upi unaouzungumzia
Kwetu ni kolomije karibuniAu unamzungumzia roma na moni maana ndio wa moto hapa kwetu...
Karibuni tongwe tumsake roma na moniKwetu ni kolomije karibuni
Moni alinifurahisha kwenye track yake na Roma pale aliposema.Karibuni tongwe tumsake roma na moni
Ni kweli tena mara nyingi inasababisha kansaGongo inaunguza main nasikia ni kweli
Kansa siku hizi ni tatizo kubwa!Ni kweli tena mara nyingi inasababisha kansa