Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,823
- 51,482
Worry not big hommie, msalimie shemejiNilijua ni utani pia so don't worry!
Worry not big hommie, msalimie shemejiNilijua ni utani pia so don't worry!
Kila kitu katika hii dunia ni matokeo ya uumbaji wa MunguPesa ndo kilakitu
Bar gani we muhunishemeji ndo yule ulikuwa nae bar
?Muhuni ndo mjanja wa maishaBar gani we muhuni?
Hapo ndo patamu!Husogei, umeng'ang'ania hapo hapo
Kati ya wote waliochangia naona Chenga tupuPatamu kama pale kati
Shemeji kashikwa na nyara adimu yupo kituoniWorry not big hommie, msalimie shemeji
Kituoni Polisi Kuna mambo mawili aidha uachiliwe huru ama upelekwe Mahakamani.Shemeji kashikwa na nyara adimu yupo kituoni
Kukudandia ni neno haswa linalotamukwa na vijana Mtaani.Mahakamani kuna mawili kufungwa au kuachiwa huru, na ukiambiwa upo huru toka nduki wee kimbia polisi wasije kukudandia
mtaani kuna mawili ima utendwe au utende....Kukudandia ni neno haswa linalotamukwa na vijana Mtaani.
Utende matendo mema ungali hai ili siku ukifa uiepuke Jehanamu.mtaani kuna mawili ima utendwe au utende....
Mumewe ni mtu wa Matendo yaliyo mema hivyo kumuzushia uwongo ni kosa la Jinai.Jehanamu ataenda Bashite na Mumewe
Jinai ni mtu wa aina gani kila kosa kusingiziwa.Mumewe ni mtu wa Matendo yaliyo mema hivyo kumuzushia uwongo ni kosa la Jinai.