Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,706
- 51,036
Kuzaliwa kwako kuna faida nyingi sana, leo nitaelezea moja tu ambayo ni ya kuwa mwanamke.Utajuta kuzaliwa
Kuzaliwa kwako kuna faida nyingi sana, leo nitaelezea moja tu ambayo ni ya kuwa mwanamke.Utajuta kuzaliwa
Mwanamke ni hazinaKuzaliwa kwako kuna faida nyingi sana, leo nitaelezea moja tu ambayo ni ya kuwa mwanamke.
Hazina ehh ila umeseme ukweli,poa banah usiku mwema na ugua poleMwanamke ni hazina
Utajuta sana, tumbo la kuhara tuliache kama lilivyoTumbo!?? Lol usiombe hyo kitu ikutokee ugenini alafu pana shida ya maji.... Utajuta
Roho inapenda kula ndiz nyama(maharage,samaki), wali maharage..... Tambi nyama....chips nyama(samaki mkavu)...hzi nyakati za usiku....lakini mchana ugali (dona+muhogo) mboga yoyote ile ikiongozwa na dagaaZaidi unapendelea vyakula gani, ili siku nyingine nikupikie kitu roho inapenda

Dagaa wa kigoma eh dagaa wa nyamaaRoho inapenda kula ndiz nyama(maharage,samaki), wali maharage..... Tambi nyama....chips nyama(samaki mkavu)...hzi nyakati za usiku....lakini mchana ugali (dona+muhogo) mboga yoyote ile ikiongozwa na dagaa![]()

Pole na weweHazina ehh ila umeseme ukweli,poa banah usiku mwema na ugua pole
Dagaa watamu sana, na wana madini mengi ufaa kwa kujenga mwili, nimekuelewa sana ila ugali usiku kama una match heavy sikushauri ule chips, kamata ugali ili kuwe na win_winRoho inapenda kula ndiz nyama(maharage,samaki), wali maharage..... Tambi nyama....chips nyama(samaki mkavu)...hzi nyakati za usiku....lakini mchana ugali (dona+muhogo) mboga yoyote ile ikiongozwa na dagaa![]()
Wewe hapo, mimi siumwiPole na wewe
Siumwi hata mie nimepona.Wewe hapo, mimi siumwi
Humu tumekusikia, goodnight say hello to p.DSiumwi hata mie nimepona.
Muwe na usiku mwema wote humu
P.D Ndio aina gani ya lugha.Humu tumekusikia, goodnight say hello to p.D
Yupo mkuu, halafu hebu nitoe hapo kwenye mzee wa totozMkuuuuuuuu dah aisehhhhh kwanza nimecheka dah nimekumiss sana teh teh teh kuna watu ni siku nyingi sijawasikia ukiwemo wewe mzeya wa totoz, mdogo wangu vipi dada yako sakayo nae kitambo sana, hivi yupo?
maana me sijakua hujue halafu bado namtafuta huba, sakayo mzima wa Afya tu, dah nilikumiss we jamaa ulikuwa wapi au ndio nanilia alikupiga stop au maana sio kupotea hukuhuku hapaingiliki kirahisiYupo mkuu, halafu hebu nitoe hapo kwenye mzee wa totoz![]()
![]()
maana me sijakua hujue halafu bado namtafuta huba, sakayo mzima wa Afya tu, dah nilikumiss we jamaa ulikuwa wapi au ndio nanilia alikupiga stop au maana sio kupotea huku
kirahisi rahisi ndipo alipojiponza kumwangukia..!huku hapaingiliki kirahisi
Wanazikiuka kwa sababu hakuna wanaozisimamia zikivunjwaSheria watu wanazikiuka
Zikivunjwa na sisi tunaitwa sentrooooo,ila wakizivunja wao wanapongezana mamaeeeeeWanazikiuka kwa sababu hakuna wanaozisimamia zikivunjwa