Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 878
Mamaeeee bashite
Mkulu chizi sanaBashite anampaga nini mkulu?
Maalum bin Maalim Seif.., cha kupewa lazima ukumbushwe..Limao ndiyo mbadala wa Ndimu? or you can use both. ila navyojua mimi ndimu ina kazi yake maalum.
Urejeshe mchango wa wafadhili.....Ukumbushwe kwamba ulipewa na inabidi urejeshe
Wafadhili waniniUrejeshe mchango wa wafadhili.....
Wanini kumkaribisha futari wakati yeye ninkobe !???Wafadhili wanini
Ninkobe.? Basi haina hajaWanini kumkaribisha futari wakati yeye ninkobe !???
Haja iliyopo ni kusajili wanafunzi wa kike!!!Ninkobe.? Basi haina haja
Huku kwetu nilipigwa ganzi kamanda wangu, ila tupo pamoja sana gbefa, vipi mamaafacebook yupo wapi, nawasalimu wote in jesus name amenYupo mkuu, halafu hebu nitoe hapo kwenye mzee wa totoz![]()
![]()
maana me sijakua hujue halafu bado namtafuta huba, sakayo mzima wa Afya tu, dah nilikumiss we jamaa ulikuwa wapi au ndio nanilia alikupiga stop au maana sio kupotea huku
Mi mshindi!Binafsi sikumsoma kaandika nini hilo sio wazo banah ni uandishi makorokocho Zz
Nk umetisha mkuu hahahaha upo vizuri mwalimu mkuuMi mshindi!
Patatobolekishwa linatokana na neno toboa ambalo linaweza kunyambuliwa na kuzaa maneno mengine km;
*Toboa, tobolewa toboleshwa toboleka toboleshana, toboana toboka nk.
Nk mkuu tupo pamoja mkuu, halafu tupo kwenye jukwaa la jokesMi mshindi!
Patatobolekishwa linatokana na neno toboa ambalo linaweza kunyambuliwa na kuzaa maneno mengine km;
*Toboa, tobolewa toboleshwa toboleka toboleshana, toboana toboka nk.
so never mind my jokes, utani mwingi ndiyo habari ya hapa, sijakurekebisha kwa maana nyingine mkuu bali utani, you dont need to takes my jokes seriouslyNilijua ni utani pia so don't worry!Nk mkuu tupo pamoja mkuu, halafu tupo kwenye jukwaa la jokes![]()
so never mind my jokes, utani mwingi ndiyo habari ya hapa, sijakurekebisha kwa maana nyingine mkuu bali utani, you dont need to takes my jokes seriously
Worry out, hii familia ina upendo wa agapeNilijua ni utani pia so don't worry!