Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Upo katika ordha ya madawa ? nauliza tu.. tusijeshtukiziwa !!
Upo katika ordha ya madawa ? nauliza tu.. tusijeshtukiziwa !!
tusijeshtukizwa kama ambavyo Mheshmiwa alikuwa akitembelea ofisi kadhaa kipindi kileeeeeUpo katika ordha ya madawa ? nauliza tu.. tusijeshtukiziwa !!
Kile kilikua kipindi cha danganya tototusijeshtukizwa kama ambavyo Mheshmiwa alikuwa akitembelea ofisi kadhaa kipindi kileeeee
Toto ya siku hizi haikubali kudanganywa kwa peremende!Kile kilikua kipindi cha danganya toto
Peremende zilizo expire zimemwagwa happ dampo!!Toto ya siku hizi haikubali kudanganywa kwa peremende!
Dampo la wapi?.. au hili la hapa magogoniPeremende zilizo expire zimemwagwa happ dampo!!
Magongoni kuna raha na bustani .....Dampo la wapi?.. au hili la hapa magogoni
Bustani yenyewe inanyeshewa?Magongoni kuna raha na bustani .....
Mvua za enzi hii ni za kukopesha kadri za wema wetu zitanyesha na kadri za jeuri zitaadimika !!Inanyeshewa na mvua
Zitaadimika vipi ikiwa zinanyesha mabarafu tupuMvua za enzi hii ni za kukopesha kadri za wema wetu zitanyesha na kadri za jeuri zitaadimika !!
Tupu za waogaji mtoni za ning'inia !!Zitaadimika vipi ikiwa zinanyesha mabarafu tupu
Ning'inia kwenye mti wa maembe.Tupu za waogaji mtoni za ning'inia !!
Maembe ya dodo yana soko kubwa hapa Dubai...Ning'inia kwenye mti wa maembe.
Dubai imekuwa ndio nchi ya watu wasiotaka usumbufu wa mkulu,,kama alivofanya Mohmedi DewijiMaembe ya dodo yana soko kubwa hapa Dubai...
Dewji yupi? Huyu mnyaturuDubai imekuwa ndio nchi ya watu wasiotaka usumbufu wa mkulu,,kama alivofanya Mohmedi Dewiji
Mnyaturu mmoja mwaka 1974 alishinda medali dhahabu huko olyimpics !!Dewji yupi? Huyu mnyaturu
Olyimpics zinafanyika tena mwaka gani na mji upi?Mnyaturu mmoja mwaka 1974 alishinda medali dhahabu huko olyimpics !!