Bukya
Senior Member
- Apr 1, 2014
- 196
- 121
Hatua nyingine kuchukua ni hatariUnasubiri nini kuchukua hatua?
Hatua nyingine kuchukua ni hatariUnasubiri nini kuchukua hatua?
Wapi huku sijui Ila bado nasonga mbele wangu namshukuru mungu nafurahia mambo yangu kwa kweliSakayo nipo, nasukuma gurudumu lisiloenda mdogo wangu.
Vipi wewe lakini umefikia wapi
Hatari zjngine si za kujitakiaHatua nyingine kuchukua ni hatari
Kweli Mungu ni mwema mdogo wangu, pambana tuu naamini utatoka tuWapi huku sijui Ila bado nasonga mbele wangu namshukuru mungu nafurahia mambo yangu kwa kweli
Utatoka tu kama juhudi na maarifa viko kichwani mwako ahsante Dada always I keep your words on my mind thanks a lot loveKweli Mungu ni mwema mdogo wangu, pambana tuu naamini utatoka tu
Love you, ndo maana nakutia moyo. Naamini ukipata na mie nimepataUtatoka tu kama juhudi na maarifa viko kichwani mwako ahsante Dada always I keep your words on my mind thanks a lot love
Nimepata uliyonitumia nitakulipa soon kwa nitachokipata... Be blessedLove you, ndo maana nakutia moyo. Naamini ukipata na mie nimepata
Be blessed to you and your family!!!Nimepata uliyonitumia nitakulipa soon kwa nitachokipata... Be blessed
See you around when you see me,, enjoy the momentBe blessed to you and your family!!!
See you around
Hatari ukifuatana na muuza mwili atakuponza...!Hatua nyingine kuchukua ni hatari
Mshindi nimekuja..... Naombeni kombe langu.... Miss you allMimi ndo mshindi
all you need to do is to continue posting. Hivi na 'kiingilishi' kinaruhusiwa uzi huuMshindi nimekuja..... Naombeni kombe langu.... Miss you all
Uzi huu uendelee kukumbusha kuwa hakuna mtu hatari kama anaetumia cheti kisichokuwa chake.all you need to do is to continue posting. Hivi na 'kiingilishi' kinaruhusiwa uzi huu
chake wanadai hakikufaaUzi huu uendelee kukumbusha kuwa hakuna mtu hatari kama anaetumia cheti kisichokuwa chake.