Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Instagram umepost picha kali mpenziKimambi ana account zaidi ya moja kule Instagram
Instagram umepost picha kali mpenziKimambi ana account zaidi ya moja kule Instagram
Mpenzi, instagram kumejaa umbea.Instagram umepost picha kali mpenzi
Umbea WA instagram WA shilawadu unasubirMpenzi, instagram kumejaa umbea.
Unasubiri nini kuchukua hatua?Umbea WA instagram WA shilawadu unasubir
Kuchukua hatua kama za bashite alipopiga vita madawa ya kulevya au?Unasubiri nini kuchukua hatua?
Umbea usiwe sehemu ya maisha yako mpenzi wangu nikupendayeMpenzi, instagram kumejaa umbea.
JF ndiyo yenyewe. Ukitaka matusi tabata, ukitaka starehe tabata, ukitaka ushauri tabata, ukitaka mme/mke mtarajiwa tabata, yaani JF ni kila kitu, nini zaidi!Jf ni zaid ya shule
Zaidi ya tabata yuko mtoto wa kulialia !!JF ndiyo yenyewe. Ukitaka matusi tabata, ukitaka starehe tabata, ukitaka ushauri tabata, ukitaka mme/mke mtarajiwa tabata, yaani JF ni kila kitu, nini zaidi!
Kulialia humu sio vizuri
Zz = zuzu au zamiluniUtamu wa muwa ule hadi kifundo nakusalimu QUIGLEY na zz
Zamiluni alizimuliwa na jini mahaba...!!Zz = zuzu au zamiluni
..!! Hii mvua ya leo imeniletea mafua makali sijui ya ndege haya..ni matesoZamiluni alizimuliwa na jini mahaba...!!
Hilo nalo neno, usipo jiuliza utakula hasara !!Mjini na hasa mtandaoni ni Bashite Bashite, hakuna muhimu zaidi ya hilo!