Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Sana man Kila nikicheki sioni comment yako nilishindwa kumuuliza hata sakayo,zamiluni na gbefa labda walikuwa wanajua lkn nkasema no, labda jembe michakato mingi lkn kwema pacha
Pacha ake kama ulikuwa hujui mie ningejulia wapi!!! Kapata mjanja wa kumficha au aliitwa central nae atujuze
 
Kweli pacha unamuamini sakayo kuliko mimi pacha wako?sakayo shemeji yako huyo,ngoja nimfuate jikoni,yupo jikoni ananipikia
Ananipikia eeeh, sema ukweeli bhana uliitwa central?? Mbona hilo swali walikwepa, nilikutafuta kila jukwaa lakini sikukuona kamwe
 
Back
Top Bottom