Siku ya hukumu ni siku ngumu sana kwa watenda dhambiKesho pia ni siku
Dhambi haisajiliwi ila baada ya kuthibiti tamamu..Siku ya hukumu ni siku ngumu sana kwa watenda dhambi
Watatu wakitoa ushuhuda msala utakuangukia!!Elfu ishirini ni sawa na ng'ombe watatu
Msala utakuangukiaje wakati mwenye mji kasema hakuna njaa? msilete mambo yasiyo na mwisho kama huyu "Wambuzi" toka shindano lianze eti halijapata mshindi Mwaka unakatika unaanza mwingine, hili ni shindano hewaa!!Watatu wakitoa ushuhuda msala utakuangukia!!
Mwingine nao pia utakwishaMsala utakuangukiaje wakati mwenye mji kasema hakuna njaa? msilete mambo yasiyo na mwisho kama huyu "Wambuzi" toka shindano lianze eti halijapata mshindi Mwaka unakatika unaanza mwingine
Etii unasemaje wewe kapuku!!?Uchwara ndo unavyo waza wewe, shukuru Mungu una amani hayo mengine yaache yalivyo
Nawasubiri wachoke tu nije nichukulie ushindi kiulaini, tatizo raia humu wala hata hazina dalili za kuchoka yaani kila ukipotea ukirudi unawakuta kama ndio wanaanza.Watu wa humu bado hamjampata mshindi
Sana sana naweza kuwa mimi
Mimi ndio mshindi, habari za wewe mamy
Endeleeni kujidanganya tu nyote nyie.Mami sakayo mm ndio mshindi nipeni kombe
wanaanza wakati shindano lenyewe hewa, yaani Bongo kila kitu hewa, hewa - hizi hewa hewa zitajenga viwanda kweli??Nawasubiri wachoke tu nije nichukulie ushindi kiulaini, tatizo raia humu wala hata hazina dalili za kuchoka yaani kila ukipotea ukirudi unawakuta kama ndio wanaanza.
Kweli sasa mi ndio mshindi maana atakayefata baada yangu ana matatizo ya akili.wanaanza wakati shindano lenyewe hewa, yaani Bongo kila kitu hewa, hewa - hizi hewa hewa zitajenga viwanda kweli??
Matatizo ya akili wanayo wengi tu, data zinasema kati ya watanzania 5 basi 3 wana mtindio wa ubongo!! aisee kumbe hili taifa ni la vilema tupuKweli sasa mi ndio mshindi maana atakayefata baada yangu ana matatizo ya akili.
Ama hakika karibia kila kiongelewacho ni hewa si unaona hata ukuaji wa uchumi wenyewe hewa... Na sisi acha tushiriki mashindano hewa maana tunaishi kwa kufuata misingi ya system hewa iliyopo.wanaanza wakati shindano lenyewe hewa, yaani Bongo kila kitu hewa, hewa - hizi hewa hewa zitajenga viwanda kweli??