Angani sio pa mchezo mchezo nduguBombadia ckuiz znapotea sana angani
Angani kwenyewe kuna mambo mengi hata barabara hazionekani!Bombadia ckuiz znapotea sana angani
Akhera lango li wazi kabisa kama kweli wataka kuenda huko!Hazionekani hizo pesa kwanini lakini, hii dunia itanishinda soon naitoroka naenda akhera
Huko sio pa mchezo mchezo nduguAkhera lango li wazi kabisa kama kweli wataka kuenda huko!
Ndugu yangu mmoja alijifanya kutaka kwenda huko ilibidi aahirisheHuko sio pa mchezo mchezo ndugu
Aisee na watu wengi tunaogopa kwenda huko kwa sababu hatuna maandalizi.Aahirishe tu kwa sababu ajujiandaa, kule ujitoe kweli aisee
Aisee wanasema kule unaingizwa kwenye moto weeeeeee km mwaka hivi wanakutoa km wiki unakula mijeredi na marungu then wanakurudisha tena kuitafuta aka ingine,tungetubu na kuacha dhambi kabisa jamani ndo maandalizi yaliyo na afueniAahirishe tu kwa sababu ajujiandaa, kule ujitoe kweli aisee
Kamwe tusiiikaribie dhambiAfueni yetu ni kutenda mema usitegemee dini yako ndio itakufikisha Kule kamwe
Kumuacha mke wangu siwezi, labda niwe na half cast wa kwa trumpdhambi ni kumgonga demu na kumuacha
Nipongeze miki ZZ ndiyo wakili wake na mwakilishi...Sana mimi nataka kumfahamu aliyeanzisha game hili nimpongeze.