Hewa gani humtoka mwanaadamu kwenye matumbo hadi makalio....?!?Iliyopo ni Oxygen na Carbon wewe unaizungumzia hewa gani
Nyote humu mmeshindaje hongereni kwa kaziEndeleeni kujidanganya tu nyote nyie.
Vichaka vinaficha mambo mengi haswa nyokazamani hakukua na gesti ilikua ni mwendo wa vichaka
Nyoka wana sumu kali, vipi mamy hope uko poaVichaka vinaficha mambo mengi haswa nyoka
Nyoka ninamwogopa sana nikimkuta ndani nahama nyumbaNyoka, hahahaa... Enzi hizo form one waliitwa nyoka
Tuendelee na uhuru wa kuchangia thread kwa jinsi ninavyopenda labda kwa kuvunja sheriaNyoka wapi na wewe nae. Halafu sikia, we Blaki Womani una haribu flow ya mchezo. Huna haja ya ku quote comment ya zamani. refresh your browser, angalia last comment ni ipi then nawe weka yako. Haya Tuendelee
Poa sana mkuu hongera kwa majukumuNyoka wana sumu kali, vipi mamy hope uko poa
Uliza wewe mie sihitaji kuuliza mkuuSheria za mchezo huu ni kama nilivokwambia. Refresh your browser to see the last comment then put yours down there. Nadhani umenipata. Kama hujaelewa uliza.