Umbeya gani tena jamani mie nipo ni majukumu tu yameniandamaMamy mie mzima sana nakutafuta tupeane umbeya
Kumekucha kwenye jiji la makonda. Hatak kuzungumzia jiji lake kuwa la mwisho NECTAMadawa ya kulevya yalikuwepo tangu longi, yameua na kuwaachia vilema wengi tu, unashituka kumekusha??
" Nacte "ni nukta kwa kiarabu....Necta nacte
Hazionekani hizo pesa kwanini lakini, hii dunia itanishinda soon naitoroka naenda akhera

hiyo ndo alama ya nini..?
Nini... Hiyo ni alama ya kichekohiyo ndo alama ya nini..?
Kicheko ?!? Oooyaa nami niwachekeshe kidogoNini... Hiyo ni alama ya kicheko
2025 kusikuzuzue kbs.., Jee una dhamana gani ya kufikia kesho ???kidogo kidogo tutafika mwaka 2025
Kesho yangu naiandaa leo2025 kusikuzuzue kbs.., Jee una dhamana gani ya kufikia kesho ???
Mungu ndiye alitupa akili ya kupanga ya Leo na kesho pialeo ndo leo iyo kesho tumuachie mwenyez mungu