Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Haujanimiss shemeji mie nimekumic ila napata salamu zako kutoka kwa dadaJukwaa kaniachia mm.. Mm haujanimiss?
Haujanimiss shemeji mie nimekumic ila napata salamu zako kutoka kwa dadaJukwaa kaniachia mm.. Mm haujanimiss?
Njema na iwe kwako pia nimeamka salama sana na afya teleMme amkaje humu jukwaani...... Nawatakieni siku njema![]()
![]()
Jamani pole sana ilikuwaje akakuachaWangu wa moyoni kaniacha hivi hivi jamani
Afya tele niwatakie woteNjema na iwe kwako pia nimeamka salama sana na afya tele

Wote natumai muwazimaAfya tele niwatakie wote![]()
Mu-wazima humu?Wote natumai muwazima
Hapatikani siku hizi shemeji yangu, usimfiche sana mama watoto mwambie tunamsalimia sana, mmeamkaje humuMwema wa watu mi mbora wao !! japo zama hizi hapatikani.....!!!
Lakini kipenzi hata mimi nimekumiss sana, msalimie faru fausta mwenye umri wa 54 hiviHapatikani kama ilivyo kwa ZZ siku hizi unajua nimekumic lakini
Jamani acha tu akuache maana T1990 sio kijana mwema mkorofi sanaWangu wa moyoni kaniacha hivi hivi jamani
Mmeamkaje humu, nawasalimu sanaJamani mmeamkaje
Njema siku huonekana kuanzia asubuhi, acha Januari ipite kahMme amkaje humu jukwaani...... Nawatakieni siku njema![]()
![]()
Dada hujambo black womaniHaujanimiss shemeji mie nimekumic ila napata salamu zako kutoka kwa dada
Wote tunasema ahsanteAfya tele niwatakie wote![]()
Muwazima kama atug etiWote natumai muwazima
Humu ndani nawakubali sana, hello online friendsMu-wazima humu?
Ndiyo wewe tunakupa heshima ya kutuongoza kwa busara....Friends tupo 3536 tuliochangia "Wa mwisho ndi...
Busara zitawale humu ndaniNdiyo wewe tunakupa heshima ya kutuongoza kwa busara....
Busara na hekima ya wadau wa uzi huu inapelekea kuwa moja ya uzi chache zisizo na matusi na kejeli miongoni mwa wachangiaji nawazawadia machachuzi tuje tule supu zamiluni,pacha t9,sakayo,gbefa I mean wooooooteNdiyo wewe tunakupa heshima ya kutuongoza kwa busara....
Mje tule bataBusara na hekima ya wadau wa uzi huu inapelekea kuwa moja ya uzi chache zisizo na matusi na kejeli miongoni mwa wachangiaji nawazawadia machachuzi tuje tule supu zamiluni,pacha t9,sakayo,gbefa I mean wooooootenawambia mje![]()