Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Kweli kabisaa, siasa kwanza zinatufanya tuwe watumwa wa wakubwaNchi ni ya .... Milele na milele me sipendi siasa kinoma kwa habari kama hii kwa kweli
Kweli kabisaa, siasa kwanza zinatufanya tuwe watumwa wa wakubwaNchi ni ya .... Milele na milele me sipendi siasa kinoma kwa habari kama hii kwa kweli
Wakubwa wanakula kwa akili sisi tunakula kwa jasho, pumbafu tujiongeze basi jamani tunafanya ukoloni maomboleo sisi wenyeweKweli kabisaa, siasa kwanza zinatufanya tuwe watumwa wa wakubwa
Wenyewe hatulitambui hilo, tunatumiwa vibaya sanaWakubwa wanakula kwa akili sisi tunakula kwa jasho, pumbafu tujiongeze basi jamani tunafanya ukoloni maomboleo sisi wenyewe
Sana tujifunze sasaWenyewe hatulitambui hilo, tunatumiwa vibaya sana
Sasa ndo mda wa kufanya mabadiliko, tusisubiri keshoSana tujifunze sasa
Jumatatu Jumanne Jumatano Alhamis Ijumaa Jumamosi JumapiliKesho jumatatu
Jumatatu ya mwisho januaryKesho jumatatu
Sipapendi uvinza/chumviniWakuu insta sipapendi
Today tumepata mvua sehem kadhaa za nchi,tren imepata ajali,magu presidaaa yupo Ethiopia mkutanoni,,, daaah yaan mambo yanasonga tuChumvini tena duh mkuu are you okay today
Yanasonga tuu hatujui yataishia wapiToday tumepata mvua sehem kadhaa za nchi,tren imepata ajali,magu presidaaa yupo Ethiopia mkutanoni,,, daaah yaan mambo yanasonga tu
Pia ulipo temwa na Aisha ulikimbilia kulalama !!Silijui analoniwazia Aisha wangu.. Lakini naamini ananpenda pia
Alfajiri ukiswali na kukuomba Mungu, siku yalo utakuwa na baraka...Wapi mvua zimenyesha hapa Ubungo ilibip alfajiri
M /Mungu hajaribiwi.., Japo anakupa muhula..!!Utakuwa na baraka kwa sababu umefanya ibada sehemu tulivu, ibada ya ukimya na utulivu ni ibada nzuri na inayokubalika na mwenyezi mungu
Muhula na majaribio yakeM /Mungu hajaribiwi.., Japo anakupa muhula..!!