Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Hatuendi kwenye ibada kesho?
Kesho ibada muhimu mkuu, wazungu wanasema hivi, ukiitumia vizuri jumapili kwa kuomba basi week itakuwa ni ya baraka
ad0bc69f322281e973d3657392e1a8f6.jpg
 
Toxic9 msikilize atug huku basi, sijui gbefa mdogo wangu kaenda wapi jamani na pacha nae bando la chuo limeisha auu
Auu atakuwa club!? nimewamiss humu ndani Ila Leo nipo kunyonya dah ukirudi home visanga vya kupika na kuchota maji hadi simu unasahau kwa kweli niwatakie jumapili njema na wiki end njema tufanye ibada wale wa ibada wale wa starehe na refreshment pia Ila tusimkwaze Allah/God kila la kheri..
 
Auu atakuwa club!? nimewamiss humu ndani Ila Leo nipo kunyonya dah ukirudi home visanga vya kupika na kuchota maji hadi simu unasahau kwa kweli niwatakie jumapili njema na wiki end njema tufanye ibada wale wa ibada wale wa starehe na refreshment pia Ila tusimkwaze Allah/God kila la kheri..
ALLAH/GOD. ...MOLA RHABUKA AKUBARIKI NCHI YETU TANZANIA MILELE YOTE AMEN RA
 
Back
Top Bottom