Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Kwa kweli umemisika sana hadi nilikuwa nifanye utaratibu wa kiintellegenciaWenzio wanakunywa Amarula ndugu yangu, bia hapana kwa kweli
Kwa kweli umemisika sana hadi nilikuwa nifanye utaratibu wa kiintellegenciaWenzio wanakunywa Amarula ndugu yangu, bia hapana kwa kweli
Wenzio leo wameenda wapi mkuu, habari za weekend yako
Hofu imenitoka sasa kwa kulisikia hilo kutoka kwakoPombe mie situmiagi kabisa mkuu wala usiwe na hofu
Kweli we mwoga, mi nilidhani unapiga vile vitu vikaliWenzio wanakunywa Amarula ndugu yangu, bia hapana kwa kweli
Baadae unaweza kufulia sio?Pombe ukiendekeza inaharibu mipango yako ya baadae
Sio kufulia tu na kudhalilika piaBaadae unaweza kufulia sio?
Mkuu hata hivyo nataka nilalee kesho misa ya kwanza inanihusuAu unalala sahivi mkuu
Unakaba kuliko hata mkate mkavuYako naona inaenda vizuri, yangu pia japo uchumi unakaba
Inasikitisha sana kuona watu wanahukumiwa kwa makosa ya kupakaziwaYangu simulizi inasikitisha
Kwako vipi ni muumini wa pombe au ndo kina mieHofu imenitoka sasa kwa kulisikia hilo kutoka kwako
Pia kutokuwa mtu wa kuaminikaSio kufulia tu na kudhalilika pia
Vikali vinaua acha uchocheziKweli we mwoga, mi nilidhani unapiga vile vitu vikali
Baadaee itanilazimu kulalaPombe ukiendekeza inaharibu mipango yako ya baadae
Naiogopa lakini sijawahi pigwa ngumiYako ngumi naiogopa
Kazi lazima zifanyike ila kwa kiasiYako inakwendaje mie w.end nimebanwa na kazi
Kitchen party mie sio muumini kabisa mambo ya mule yana wenyeweHofu kuu kukumic kwenye shughuli ya kitchen party