Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,368
kuyajenga pamoja kunaleta umoja pia...Kurekebisha ni njia bora ya kuyajenga.
kuyajenga pamoja kunaleta umoja pia...Kurekebisha ni njia bora ya kuyajenga.
sana tena inakujengea heshima kwa uliowakosea...Kurekebisha makosa ni jambo zuri sana.
chief mkwawa alikuwa ana misimamo yake aliyokuwa anaisimamia haswaa...Kurekebisha tabia na mwenendo wa maisha yako ni jambo la muhimu chief mkwawa
Kamwe usithubutu kuwadharau wakwe zako maana ni kama wazaz,ukiwaheshim itakujengea hazina sana maishana na ndoa yako itadumu,,,hamjambo lakin?naona jumamos tulivu kabsa,,mi naendelea kudownloud series Kali Kali tu wik end hiiUliowakosea hawawezi kukuheshimu kamwe
Amani itawale nafsini mwako my dearTown gani uliko wewe rafiki, miss you more.
Tumuombee tu Jane apumzike kwa amani
Lakini tuseme ni faraja sote tupo hapa salamaPacha nimekusoma kwema lakini?
Dear nashukuru nawe pia uwe na amani miaka miaAmani itawale nafsini mwako my dear
Nomaa sana kwa mwanaume kutofanya kazi na Kumtegemea mwanamkeHii thread nomaaa
Mia mia wanguDear nashukuru nawe pia uwe na amani miaka mia
Wangu nampenda, habarini za jioni wakuuMia mia wangu
Wakuu niaje, sakayo wangu hujambo, i miss youWangu nampenda, habarini za jioni wakuu
Miss you too, sijambo mkuu habari za weekend yakoWakuu niaje, sakayo wangu hujambo, i miss you
Yako imekaaje weekend , yangu ipo poa on my way home, i miss u sana mkuu,Miss you too, sijambo mkuu habari za weekend yako
Upo Ukhuty!!! hahaha, nipo mkuu nimewamiss sana
Yaani wewe, naona umepumzika kidogo kubadili avatar, tulia hapo hapoSana yaani

Nzima ipo hapa i mean bia nzima ya castle inakungoja hapa mkuu, ila mimi situmii mimi mzee wa AmarulaUpo pande zip wik end hii waungwana tugawane bia tulizotafuta wiki nzima