stacia
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 752
- 1,475
Afya njema ndio kila kitu kwa binadamuPacha ameamka salama I hope, mie niko buheri wa afya
Afya njema ndio kila kitu kwa binadamuPacha ameamka salama I hope, mie niko buheri wa afya
MkuuWewe Umeamkaje lakinii mkuu

Binadamu wengi hawana utu tena siku hiziAfya njema ndio kila kitu kwa binadamu
Kundesaa hapo umenifanya nicheke mkuuNgastukaa machale kundesaa![]()
Wewe pia kuwa na jumapili njemaSijambo za wew
Tumsifu yesu kristo milele Amina, upande wa pili aslaam aleykhuum!?Lakini nilisahau kumuaga, habarini za asubuhi ndugu zangu mmeamshwaje. Tumsifu yesu Kristo
Ngastukaa nimenawa mikono juu yako race ya kutafuta uchumba kwako naishia hapa, am not lucky but am blessedKweli mmenipania, sio kwa mipango hiyo, Ngastukaa
Njaa mhmhhhMawazo ambayo kwa namna moja ama nyingine yanachangiwa na baa la njaa
Kunigeuka wapi sakayo mpe nafasi Toxic tukuze undugu na ukoo, familia iongezekeKweli mdogo wangu gbefa umeamua kunigeuka
Am blessed too yaani umepiga chini juhudi zetu zote dah Ila nduguyo usinibanie tu... Hakuna dhambi inayoumiza kama dhambi ya usaliti, umetusaliti mkuuNgastukaa nimenawa mikono juu yako race ya kutafuta uchumba kwako naishia hapa, am not lucky but am blessed
Iongezeke wapi tenaa unataka bi mkubwa animwagie tindikali sioKunigeuka wapi sakayo mpe nafasi Toxic tukuze undugu na ukoo, familia iongezeke
Blessed Sunday everyoneNgastukaa nimenawa mikono juu yako race ya kutafuta uchumba kwako naishia hapa, am not lucky but am blessed
Mkuu Umeamkaje lakiniiAm blessed too yaani umepiga chini juhudi zetu zote dah Ila nduguyo usinibanie tu... Hakuna dhambi inayoumiza kama dhambi ya usaliti, umetusaliti mkuu
Mkuu hiyo emoji sijaielewa yaaniMkuu![]()
Mkuu umemuona wapi gbefaKundesaa hapo umenifanya nicheke mkuu
Lakini sio poa kabisa kumbania mchizi,,, me Niko poa Ila nimedoji ibadani kwa bahati mbayaMkuu Umeamkaje lakinii
Gbefa yupo Leo msije singizia yupo shule tu maana amchelewagi ninyiMkuu umemuona wapi gbefa
Bahati mbaya kila siku jamani, badilika mdogo wangu. Sijabana we kama unataka kumuona dadako anamwagiwa tindikali live sema hapaLakini sio poa kabisa kumbania mchizi,,, me Niko poa Ila nimedoji ibadani kwa bahati mbaya
Ninyi ni kina nani tenaGbefa yupo Leo msije singizia yupo shule tu maana amchelewagi ninyi
Hapa ndio penyewe mhmh umeenda mbali hujue dada usije kuwa unamaanisha tu... Sipendi itokee hivyo wangu wa kumoyoBahati mbaya kila siku jamani, badilika mdogo wangu. Sijabana we kama unataka kumuona dadako anamwagiwa tindikali live sema hapa