Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Lakini mnawezaje kulala mapema hivi mbon mimi mwaka wa 3 au 4 sikumbuki ni siku gani nililala walau saa 5 nimewahi saa sita mpk saa tisa zikinipanda mpk asubui na nikitoka hapo naunga kwenye mishe mishe yaani full majanga
Majanga kweli pacha, ila pacha mfumo upo hivi, ukichelewa kulala basi ule muda ni lazima utaufidia mahala kwa kusinzia, huwezi mtu ukakesha siku nzima hujalala na kesho tena hujalala hapo lazima utakua unasinzia eneo la kazi pacha na pia maradhi pacha kukosa kulala basi magonjwa nyemelezi yatakupata
 
Balaa tupu pole sana jomba mama yule anakulaga pweza sana siku hizi na juisi ya ukwaju ndo maana yupo walu walu km mende
Mende alinipa tabu sana kipindi cha Advance level NATIONAL EXAMINATION wakati wa unafanya experiment kumpasua, alikua akichomoka unaanza kumkimbiza huku muda wa pepa unaenda PRACTICAL hiyo ya bios
 
Back
Top Bottom