Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mwenye njaa aelewi
Haelewi nini? kama kuna njaa?!
918830507dd55feff292bc8e46cb2969.jpg
 
Misa ya kwanza inanihusu mimi pia usiku mwema mpe hi shemeji umemuaga mkuu toxic9 lakini?
Lakini mnawezaje kulala mapema hivi mbon mimi mwaka wa 3 au 4 sikumbuki ni siku gani nililala walau saa 5 nimewahi saa sita mpk saa tisa zikinipanda mpk asubui na nikitoka hapo naunga kwenye mishe mishe yaani full majanga
 
Lakini mnawezaje kulala mapema hivi mbon mimi mwaka wa 3 au 4 sikumbuki ni siku gani nililala walau saa 5 nimewahi saa sita mpk saa tisa zikinipanda mpk asubui na niunga kwenye mishe mishe yaani full majanga
Majanga pacha, we acha tu, ila sakayo mtoto wa kike mwache alale mapema, sisi vidume tupige story changamsha genge pacha
 
Lakini mnawezaje kulala mapema hivi mbon mimi mwaka wa 3 au 4 sikumbuki ni siku gani nililala walau saa 5 nimewahi saa sita mpk saa tisa zikinipanda mpk asubui na niunga kwenye mishe mishe yaani full majanga
Full majanga kwa kweli shida kisa cha kusingizia ofisini ni nini mkuu mimi unajua kuwa kukosa usingizi pia ni ugonjwa, kapate tiba babu
 
Lakini mnawezaje kulala mapema hivi mbon mimi mwaka wa 3 au 4 sikumbuki ni siku gani nililala walau saa 5 nimewahi saa sita mpk saa tisa zikinipanda mpk asubui na nikitoka hapo naunga kwenye mishe mishe yaani full majanga
Majanga mapya hatuna field mwaka huu dah nshakosa hela sijui nitaishi vipi hyu mama ndalichako ni balaa tupu
 
Back
Top Bottom