Shehe dada zetu hawajaamka? au wanalinda ndoa kwanzaMimi pia nimeamka salama shehe
Kwanza wanaweka mambo sawa nyumbani halafu ndiyo waje kushiriki uchangiaji, ila sakayo yupo hewani, msalimie na mwambie moyo mashineShehe dada zetu hawajaamka? au wanalinda ndoa kwanza
Jf imenifunza mengi sana yenye manufaaKucheza na serikali hii hakika tunaweza kukusahau huku jf
Kwanza kabisa naomba nimtambulishe kwenu mkazi wa kigamboni na wakala wa forodha, si mwingini ni J MgayaShehe dada zetu hawajaamka? au wanalinda ndoa kwanza
Ndani humu salama, vipi umekamatwa na nani, maana upo kimyaMimi nawaza wiq-end hii nifanye nini, natumai mko poa humu ndani
J Mgaya alishajitambulishaga miaka 3 iliyopita, ila mkuu wewe mfukunyuku balaaKwanza kabisa naomba nimtambulishe kwenu mkazi wa kigamboni na wakala wa forodha, si mwingini ni J Mgaya

J Mgaya alishajitambulishaga miaka 3 iliyopita, ila mkuu wewe mfukunyuku balaa![]()
![]()
![]()
![]()
Sio mchezo kuna jambo lilinivuta nilipocheki ikabidi nizame kinani nijue zaidi, nitakucheki zaidi si wajua mambo ya lango kuu la bahari ni muhimu kwa zetu bidhaa pendwa toka ng'ambo?Toxic9 naandamwa kila kona, ila nitashinda hila zenu
wewe babyJohnson , gbefa, sakayo poa tu nitapambana na hali yanguToka ng'ambo ndo shuhuli zinazo niweka mjini mkuu![]()
![]()
![]()
Sio mchezo kuna jambo lilinivuta nilipocheki ikabidi nizame kinani nijue zaidi, nitakucheki zaidi si wajua mambo ya lango kuu la bahari ni muhimu kwa zetu bidhaa pendwa toka ng'ambo?
karibu sana tukuhudumie anytime
Any time ntakucheki mkuu wanguToka ng'ambo ndo shuhuli zinazo niweka mjini mkuu![]()
![]()
karibu sana tukuhudumie anytime
Na hali yangu nadhani ndo itakuwa ya mwisho kukupa kombe la ushindiToxic9 naandamwa kila kona, ila nitashinda hila zenuwewe babyJohnson , gbefa, sakayo poa tu nitapambana na hali yangu
Banah gbefa bado amelalaPochi ya nini, sijaomba ya kwenye Pochi banah
Chochote kipo huwezi kula pipi ya mdomoni, tena kaliNdani ya pochi ya dada ako kuna pipi pia mdomoni ana pipi nimeitaka ya mdomoni tena naifuata mwenyewe unakipingamizi chochote
Moyo mashine, moyo kazi yake kusukuma damuKwanza wanaweka mambo sawa nyumbani halafu ndiyo waje kushiriki uchangiaji, ila sakayo yupo hewani, msalimie na mwambie moyo mashine
Toxic9 hana jipya, chai tayari mkuu nilienda kwanza Jumuiya kusali ndo ratiba zingine ziendelee, habari za asubuhi yako inaendaje
Damu....Moyo mashine, moyo kazi yake kusukuma damu
Kali....Chochote kipo huwezi kula pipi ya mdomoni, tena kali
Hali yangu ni nzuri kabisaaaToxic9 naandamwa kila kona, ila nitashinda hila zenuwewe babyJohnson , gbefa, sakayo poa tu nitapambana na hali yangu