Ruqaiyah
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 1,118
- 1,483
Mshindi ndo Mimi hapa nisha fikaJukwaa kama Kawa tunapambana mpk apatikane mshindi

Mshindi ndo Mimi hapa nisha fikaJukwaa kama Kawa tunapambana mpk apatikane mshindi

Gbefa mtoto usimfundishe tabia mbayaWakuu, muelewesheni gbefa
Jukwaa ili nikimiss naojiona wa tofauti, vipi dada u mzima wewe miss you so muchDr karibu tena jamanii kwenye jukwaa
Wakuu mpo salama humu? Gbefa acha utunduVitandani kujituma kutafuta usingizi au.. mimi sielewi wakuu
Eeeh ndiyo, tuanze na wewe malkiaYale ya wakubwa eeeh?
Tena stacia atuambie mambo ya wakubwa yakojeEeeh Ya wakubwa tena..
Nini ulichokimiss kwake?Jamani Aishah2016 upo? kisa cha kujifungia siku zote hzo ni nini?
Wangu hayo majukumu unahasira nayo peke yako? maisha mepesi kwa magufuli tu don't take it serious utakuwa mchawiNn zaidi ya majukum wangu
Malkia hana mfalme? Au ndo wewe?Eeeh ndiyo, tuanze na wewe malkia
Kwake? ana vingi sana tatizo kuvipublish hapa ndo mtihaniNini ulichokimiss kwake?

Utundu nifanye mtoto ukifanya mkubwa kitukoWakuu mpo salama humu? Gbefa acha utundu
Malkia wa mbingu niepushe kwenye mada me sijakuwa bado wanataka kunikomazaEeeh ndiyo, tuanze na wewe malkia
Chenga za mkaa au, nitafungua tuition andaa adaWakuu hata mie naona chenga
Dhahabu zote zile alizo kuhonga namge bado unamkimbia huonekani humuKombe la dhahabu
Mnoo sakayo hujambo mtoto mzuri kipenzi changu cha moyoUshindi ni wako mamy, za kunyamaza jamanii kwema mpendwa, miss you mnoooo
Nini cha zaidi unataka kujuaJamani Aishah2016 upo? kisa cha kujifungia siku zote hzo ni nini?
Dr nina malaria naomba dawaMno pia nimewamiss.. Majukum mengi dr
Sasa bila kuelekezwa tutajua ni wapi tunapokosea!!?Kitandani napo muelekezwe?watanzania mmenishinda tabia!!
Salama kabisaa mkuuWakuu mpo salama humu? Gbefa acha utundu