Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Sielewi kwa kwel maana msd nao wamekua majipu karib wte,wanadhan huko mahospitalin dawa zemejaa kumbe ni miseto mitupu mpka wajawazito wanaambiwa wameze,,,dunia inaelekea ndiko siko kabsa
 
Ndiko siko kabisa tunaelekea sisi kama taifa tulifikiri tunaelekea pazuri mkwere alipostaafu kaja msukuma muda si muda tuemmsi mkwere
 
Twisheni ya nini mkuu mimi ndiyo mkufunzi ila natoa mafundisho kwa ada
Unajua kwamba unaweza ukawa unajiona unajua lakini kumbe haujui!?

Ebu zingatia hili mkuu mwenzako nimeshaanza kukusanya ada hapa hili nianze twisheni kwa mwalimu rahabu na ringson.
 
Sielewi kwa kwel maana msd nao wamekua majipu karib wte,wanadhan huko mahospitalin dawa zemejaa kumbe ni miseto mitupu mpka wajawazito wanaambiwa wameze,,,dunia inaelekea ndiko siko kabsa

Yaani imefika mahali mtu kama una mu40 nyumbani kwako unaonekana ni dili, na hao hao wataalumu wanatusisitiza tuitunze vizuri. Asee kwa kweli hii dunia imevaa gunia badala ya dila.
 
Yaani imefika mahali mtu kama una mu40 nyumbani kwako unaonekana ni dili, na hao hao wataalumu wanatusisitiza tuitunze vizuri. Asee kwa kweli hii dunia imevaa gunia badala ya dila.
Dila imeyumba tayari AZAM wanaongoza,
991cc68e0a1a3b40ab75cb5d8b7fe002.jpg
 
Back
Top Bottom