Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Vile vile haijalishi bajeti ipo kiasi gani, kama watu hawatofanya kazi kwa uhuru, hawawezi kufanya kwa ufanisi unaotakiwa maana watakua na uoga kwamba sijui nakosea...Maendeleo ya taifa inategemea na bajeti iliyotengwa, je bajeti ya maendeleo mwaka wa fedha huu ilitengwa shilingi ngapi vile
