Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kabisa mkuu, tusiwasahau hawa watoto, wanatuhitaji sana tuwasaidie hata kwa nguo za mtumba tuwapelekee sio kuchangia harusi tu, sakayo upo vizuri sana na shughuli za kijamii i like u mkuu
Mkuu mie pia like wewe ila ni kujisahau tu, na tukikumbuka kama hivi basi tuwatizame kwa Jicho la tatu
 
Watoto wangapi watanifaa vilee mhmh nitaangalia na hali ya uchumi Ila me napenda wawili tu
Wawilii tuu ndo nini hebu toka hapa, wazazi wako wangezaa wawilii tuu wewe apo ungezaliwa
 
Sakayo haamini kama mmemisi, jana kasema anaumwa leo hata salamu??? Najutaaa kuwatanguliza mjini, Ngachokaa
Ngachoka sakayo, tusamehe mheshimiwa maana vichwa vina vitu vingi sana, pole dear, unaendeleaje na malaria jamani?
 
Missed you too wangu, niko salamaa kabisa vipi wewe jumatatu yako Imeendaje
Imeendaje duh hata kukujibu ngumu maana naichukia kweli siku ya jumatatu kushinda hata wafanyakazi wa serikali
 
Imeendaje duh hata kukujibu ngumu maana naichukia kweli siku ya jumatatu kushinda hata wafanyakazi wa serikali
Serikali yenyewe hii imetusahau wafanyakazi wake ila kwa sie naona ka wametupendelea
 
Back
Top Bottom